Inavyofanya Kazi

Hatua nne rahisi za kuza mtandao wako.

  1. 1. Fungua AkauntiJisajili kwa namba ya simu na PIN ya tarakimu 6. Hakuna barua pepe wala neno la siri la mtandao wako.
  2. 2. Ongeza SalioLipa kwa M-Pesa, Airtel Money au Mixx by Yas. Salio lako linaonekana kwenye wallet mara malipo yanapothibitishwa.
  3. 3. Chagua Huduma na KiasiChagua mtandao, huduma na kiasi unachotaka, kisha weka link au jina lako la mtandao.
  4. 4. Thibitisha na UfuatilieMalipo yanatolewa kwenye wallet yako, oda yako huanza papo hapo na unaweza kuifuatilia kila hatua.